إعدادات العرض
Hakika mimi sikutumwa kuwa mtoa laana, bali nilitumwa kuwa huruma
Hakika mimi sikutumwa kuwa mtoa laana, bali nilitumwa kuwa huruma
Kutoka kwa Abuu Huraira radhi za Allah ziwe juu yake amesema: Palisemwa: Ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu waombee dua mbaya washirikina, akasema: "Hakika mimi sikutumwa kuwa mtoa laana, bali nilitumwa kuwa huruma".
[Sahihi] [Imepokelewa na Imamu Muslim]
الترجمة
العربية Português دری Македонски Magyar Tiếng Việt ქართული Kurdî বাংলা ไทย অসমীয়া Nederlands ਪੰਜਾਬੀ Bahasa Indonesiaالشرح
Alitakwa Mtume rehema na amani ziwe juu yake awaombee washirikina dua mbaya kwa Mwenyezi Mungu, akasema: Hakika mimi sikuagizwa na Mwenyezi Mungu na sikutumwa kuwa mtoa laana na kuwaombea watu kuwekwa mbali na rehema ya Mwenyezi Mungu na niwakatie heri, mimi sikutumwa kwa hayo, bali nilitumwa niwe sababu ya heri na rehema kwa watu wote, na kwa waumini hasa.فوائد الحديث
Ukamilifu wa tabia zake rehema na amani ziwe juu yake.
Umuhimu wa kuusafisha ulimi kutokana na laana kwa kumuiga Mtume rehema na amani ziwe juu yake.
Hapa kuna katazo la kutoa laana.
Himizo la kuwahurumia watu.
التصنيفات
Muongozo wa Mtume.