Alikataza kula kila chenye meno ya chonge katika wanyama wanaoshambulia, na kila chenye mdomo wa chonge katika ndege

Alikataza kula kila chenye meno ya chonge katika wanyama wanaoshambulia, na kila chenye mdomo wa chonge katika ndege

Na imepokelewa kutoka kwa bin Abbas -radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake na baba yake -kwamba Mtume -rehema na amani ziwe juu yake -: Alikataza kula kila chenye meno ya chonge katika wanyama wanaoshambulia, na kila chenye mdomo wa chonge katika ndege.

[Sahihi] [Imepokelewa na Imamu Muslim]

الشرح

Alikataza Mtume -rehema na amani ziwe juu yake kula kila chenye kuwinda katika wanyama wenye kushambulia, kinachowinda kwa meno ya mbele, na akakataza kula kila ndege anayekata na kukamata kwa mdomo wake.

فوائد الحديث

Pupa ya Uislamu juu ya vitu vizuri katika kila kitu miongoni mwa vyakula na vinywaji na vinginevyo.

Asili katika vyakula ni uhalali; isipokuwa vile vilivyoelezwa na sheria kuwa ni haram.

التصنيفات

Kilichokuwa halali na Haramu katika wanyama na Ndege.