Yakwamba Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- alikuwa hakatai marashi

Yakwamba Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- alikuwa hakatai marashi

Imepokewa kutoka kwa Anas bin Maalik -Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake-: Yakwamba Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- alikuwa hakatai marashi.

[Sahihi] [Imepokelewa na Al-Bukhaariy]

الشرح

Ilikuwa katika muongozo wa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- alikuwa hakatai marashi na anayapokea; kwa sababu ni mepesi kubebeka na yana harufu nzuri.

فوائد الحديث

Inapendeza kukubali zawadi ya marashi; kwa sababu hakuna tabu kuyabeba kwake na wala hakuna masimango ikiwa mtu atayakubali.

Ukamilifu na tabia njema za Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- kwa kutokataa marashi, na kukubali zawadi ya yeyote mwenye kumzawadia.

Himizo la kutumia marashi.

التصنيفات

Adabu za Ziara kuto asalamu na kubisha Hodi., Adabu za Ziara kuto asalamu na kubisha Hodi.