إعدادات العرض
Alikuwa Mtume -Rehema na Amani ziwe juu yake- anapopiga chafya anaweka mkono wake au nguo yake juu ya kinywa chake, na anapunguza sauti yake
Alikuwa Mtume -Rehema na Amani ziwe juu yake- anapopiga chafya anaweka mkono wake au nguo yake juu ya kinywa chake, na anapunguza sauti yake
Kutoka kwa Abuu Huraira -Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake- Amesema: Alikuwa Mtume -Rehema na Amani ziwe juu yake- anapopiga chafya anaweka mkono wake au nguo yake juu ya kinywa chake, na anapunguza -au anazuia- sauti yake, hapa kuna shaka kwa mpokezi.
[Sahihi] [Imepokelewa na Imamu Tirmidhiy]
الترجمة
عربي Bosanski English Español فارسی Français Bahasa Indonesia Русский Türkçe اردو 中文 हिन्दी Hausa Kurdî Português සිංහල دری অসমীয়া ไทย Tiếng Việt አማርኛ Svenskaالشرح
Imeonyesha hadithi juu ya adabu miongoni mwa adabu zinazohusiana na chafya, ni sunna kwa mwenye kupiga chafya asipitilize katika kupiga chafya na asinyanyue sauti yake, bali aipunguze na afunike uso wake ikiwezekana.