إعدادات العرض
1- Watatokea katika zama za mwisho watu wenye umri mdogo (vijana), wenye mawazo ya kipumbavu, watazungumza maneno mazuri kuliko maneno ya viumbe wote, (lakini) wanatoka katika Uislamu kama unavyotoka mshale katika upinde
2- Karne bora ni karne yangu, kisha wale wanaowafuata, kisha wale wanaowafuata