Alisema Mtume -rehema na amani ziwe juu yake- kumwambia Abubakari na Omari: "Hawa wawili ni mabosi wa watu wazima wa peponi kwanzia watu wa mwanzo na wa mwisho, isipokuwa Manabii na Mitume

Alisema Mtume -rehema na amani ziwe juu yake- kumwambia Abubakari na Omari: "Hawa wawili ni mabosi wa watu wazima wa peponi kwanzia watu wa mwanzo na wa mwisho, isipokuwa Manabii na Mitume

Imepokelewa kutoka kwa Anas -radhi za Mwenyezi Mungu ziwe ju yake- amesema: Alisema Mtume -rehema na amani ziwe juu yake- kumwambia Abubakari na Omari: "Hawa wawili ni mabosi wa watu wazima wa peponi kwanzia watu wa mwanzo na wa mwisho, isipokuwa Manabii na Mitume".

[Sahihi] [Imepokelewa na Imamu Tirmidhiy]

الشرح

Alieleza Mtume rehema na amani ziwe juu yake kuwa Abubakari Swiddiq na Omari Al-farouq radhi za Allah ziwe juu yao ndio viumbe bora baada ya Manabii, na ndio watu bora katika watu walioingia peponi baada ya Manabii na Mitume.

فوائد الحديث

Abubakari na Omari radhi za Allah ziwe juu yao ndio watu bora baada ya Mitume na Manabii.

Peponi hakuna mtu wa makamo, bali atakayeingia atakuwa ni kijana wa miaka thelathini na tatu (33), na makusudio yake wao ndio mabosi wa kila mtu aliyekufa katika umri wa makamo duniani, au hilo ni kulingana na jinsi walivyokuwa katika dunia wakati wa kuzungumzwa kwa hadithi hii.

التصنيفات

Ubora wa Maswahaba Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yao., Ubora wa Maswahaba Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yao.