إعدادات العرض
1- Atakayetawadha na akaufanya vizuri udhu, yatatoka madhambi yake mwilini mwake
2- Twahara (usafi) ni sehemu ya imani
3- Anafunga shetani juu ya kisogo cha kichwa cha mmoja wenu, pindi anapolala, mafundo matatu, anapiga katika kila fundo: Unatakiwa kulala usiku mrefu basi lala
4- Alikuwa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- akitawadha kila wakati wa swala