إعدادات العرض
1- Yakwamba Fatuma bint Abii Hubaishi: Alimuuliza Mtume -Rehema na Amani ziwe juu yake- Akasema: Hakika mimi napata hedhi na wala sitwahariki, je niache swala? Akasema: Hapana usiache sala, Hakika huo niupasukaji wa mshipa, lakini acha swala kiasi cha siku ambazo ulikuwa ukiingia katika hedhi, kisha oga na uswali
2- Tulikuwa hatuchukulii maji maji ya kahawia na njano baada ya twahara kuwa ni chochote
3- Kaa kiasi cha siku ambazo ilikuwa ikidumu hedhi yako, kisha oga