إعدادات العرض
1- Sijaacha baada yangu fitina ambayo inamadhara zaidi kwa wanaume kuliko wanawake.
2- Msijifunze elimu kwa ajili ya kujifaharisha kuwa ni katika maulama, wala kwa kujadiliana na wasiokuwa na elimu
3- Amepigia mfano Mwenyezi Mungu wa njia iliyonyooka
4- Ikiwa utawaona wenye kufuata Aya zenye kutatiza basi hao ndiyo ambao Mwenyezi Mungu amewataja katika aya