إعدادات العرض
1- Atakayeacha swala ya Laasiri itakuwa imeporomoka amali yake.
2- Umejengwa uislamu kwa mambo matano
3- Atakayeisahau swala, basi aiswali atakapoikumbuka, haina kafara nyingine isipokuwa hiyo
4- Hakika kilicho kati ya mtu na ushirikina na ukafiri ni kuacha swala
5- Hakika ahadi iliyopo kati yetu na wasiokuwa waislamu ni sala, na atakayeiacha sala basi huyo ni kafiri
6- Huyo mtu kamkojolea shetani masikioni mwake, au alisema: sikioni kwake
7- Waamrisheni watoto wenu kuswali nao wakiwa watoto wa miaka saba, na wapigeni kwa ajili yake nao wakiwa watoto wa miaka kumi, na watenganisheni baina yao katika malazi
8- na mimi ndiye ninaitwa Dhwamam Bin Thaalaba ndugu wa Banii Saad Bin Bakri