إعدادات العرض
Kuamini siku ya mwisho
Kuamini siku ya mwisho
2- , atamuingiza Mwenyezi Mungu peponi kulingana na yale aliyokuwa nayo katika matendo
4- Hakika nyinyi mtamuona Mola wenu kama mnavyouona mwezi huu, hamtokingwa katika kumuona kwake
7- Mwenyezi Mungu alipoumba Pepo na Moto alimtuma Malaika Jibril -Amani iwe juu yake- aende peponi
8- La kwanza litakalohukumiwa kati ya watu siku ya kiyama ni katika damu
20- Je mnajua ni nani aliyefilisika?
27- Hakitosimama Kiyama mpaka apite mtu juu ya kaburi la mtu aseme: Natamani ningekua nafasi yake
31- Hakitosimama kiyama mpaka zama zikaribiane
36- Mauti yataletwa yakiwa kama dume la Kondoo mwenye rangi mchanganyiko ya weusi na weupe
37- Moto wenu wa Dunia ni sawa na sehemu tu ya sabini itokanayo na moto wa Jahannam
41- Hivi yule aliyemfanya atembee kwa miguu miwili hawezi kumfanya atembee kwa uso wake siku ya Kiyama?
42- Kisha hakika bila shaka mtakuja kuulizwa kuhusu neema
44- Mtakapo msikia muadhini basi semeni mfano wa yale anayo yasema, kisha mnitakie rehema