إعدادات العرض
Mambo mazuri na Adabu- Heshima. - الصفحة 4
Mambo mazuri na Adabu- Heshima. - الصفحة 4
29- Enyi watu, tubieni kwa Mwenyezi Mungu, kwani mimi ninatubia kwa siku mara mia moja
31- Kufanya ibada katika (nyakati) za vita vurugu na mauaji ni kama kuhama kuja kwangu
34- Atakapopiga mwayo mmoja wenu basi na ashike mkono wake juu ya kinywa chake, kwani Shetani huingia
37- Hamtazami Mwenyezi Mungu mwenye kuburuza nguo yake kwa kiburi
38- Neema mbili wamepoteza thamani yake watu wengi: Afya na wakati
40- Hakika watoa laana hawatokuwa mashahidi wala watetezi siku ya Kiyama
49- Kiapo hutoa bidhaa, na hufuta faida
53- Hakuna waislamu wawili watakaokutana wakapeana mikono isipokuwa watasamehewa kabla hawajaachana
56- Ni vyako vyote ulivyotamani, na mfano wake pamoja navyo
66- Atakayejirusha kutoka juu ya mlima akajiua basi huyo atakuwa motoni akijirusha humo milele na milele
