إعدادات العرض
Mambo mazuri na Adabu- Heshima. - الصفحة 3
Mambo mazuri na Adabu- Heshima. - الصفحة 3
4- Je mnajua ni nani aliyefilisika?
12- Asiangalie mwanaume katika uchi wa mwanaume mwenzie, wala mwanamke kutazama uchi wa mwanamke mwenzie
22- Hakitosimama Kiyama mpaka apite mtu juu ya kaburi la mtu aseme: Natamani ningekua nafasi yake
23- Mauti yataletwa yakiwa kama dume la Kondoo mwenye rangi mchanganyiko ya weusi na weupe
24- Moto wenu wa Dunia ni sawa na sehemu tu ya sabini itokanayo na moto wa Jahannam
25- Yeyote atakayenisingizia mimi uongo kwa makusudi basi ajiandalie makazi yake kuwa ni motoni
28- Amepigia mfano Mwenyezi Mungu wa njia iliyonyooka
38- Sema: Laa ilaaha illa llahu, nitakutolea ushuhuda wa kusilimu kwa maneno hayo siku ya Kiyama
39- Kisha hakika bila shaka mtakuja kuulizwa kuhusu neema
40- Mtakapo msikia muadhini basi semeni mfano wa yale anayo yasema, kisha mnitakie rehema
45- Katika uzuri wa uislamu wa mtu: Ni kuacha kwake yale yasiyomuhusu
47- Muumini si msemaji watu vibaya wala mtoaji wa laana wala muovu wala mwenye kauli chafu
74- Ipe nyongo dunia Allah atakupenda ,na usivitolee macho vitu vya watu, watu watakupenda
