إعدادات العرض
Mambo mazuri na Adabu- Heshima. - الصفحة 2
Mambo mazuri na Adabu- Heshima. - الصفحة 2
3- “Mfano wa rafiki mwema na rafiki muovu ni mfano wa mbeba miski na mfua vyuma
10- Mahala pa karibu zaidi anapokuwa Mola Mlezi na mja ni katikati ya usiku wa mwisho
46- Wamepata ushindi wenye kujitenga
50- Umma wangu wote unasamehewa isipokuwa wenye kutangaza wazi madhambi
60- Mfano wa yule anayemtaja Mola wake na yule asiyemtaja Mola wake, ni mfano wa aliyehai na aliyekufa
67- Amsalimie aliyepanda anayetembea, na anayetembea aliyekaa, na wachache kwa wengi
72- Kuwa duniani kama msafiri au mpitanjia
73- Ulimi wako usiache kuwa mbichi kwa kumtaja Mwenyezi Mungu
74- Hawezi kuwa na imani mmoja wenu mpaka ampendelee ndugu yake anachokipenda yeye katika nafsi yake
75- Kumtukana Muislamu ni ufasiki (kutoka nje ya mipaka), na kupigana naye ni ukafiri
79- Bahili ni yule ambaye nitatajwa mbele yake, akawa hakuniswalia
81- “Ewe mwanadam, maadamu unaniomba na kunitumainia, nitakusamehe uliyo nayo wala sitojali
82- Dua hairejeshwi (inayoombwa) baina ya adhana na kukimiwa swala
83- Ewe Mwenyezi Mungu nitengenezee dini yangu ambayo ndiyo kinga ya jambo langu
85- Ewe Mwenyezi Mungu hakika mimi ninakuomba unipe afya katika Dunia na Akhera
92- Bwana wa Istighfari (Dua ya kuomba msamaha)