إعدادات العرض
Fiq'hi yaDua na Dhikri mbali mbali.
Fiq'hi yaDua na Dhikri mbali mbali.
1- Dhikiri bora ni: Laa ilaaha Illa llaah: Na dua bora ni: Al-hamdulillah
2- Palipo karibu zaidi kwa mja na Mola wake ni pale anapokuwa kasujudu,Basi zidisheni dua
7- Atakayesoma aya mbili za mwisho wa suratul Baqara zitamtosheleza
14- Mahala pa karibu zaidi anapokuwa Mola Mlezi na mja ni katikati ya usiku wa mwisho
19- Mfano wa yule anayemtaja Mola wake na yule asiyemtaja Mola wake, ni mfano wa aliyehai na aliyekufa
21- Bahili ni yule ambaye nitatajwa mbele yake, akawa hakuniswalia
23- Dua hairejeshwi (inayoombwa) baina ya adhana na kukimiwa swala
24- Ewe Mwenyezi Mungu nitengenezee dini yangu ambayo ndiyo kinga ya jambo langu
26- Ewe Mwenyezi Mungu hakika mimi ninakuomba unipe afya katika Dunia na Akhera
32- Bwana wa Istighfari (Dua ya kuomba msamaha)