إعدادات العرض
Fiq'hi ya Tabia.
Fiq'hi ya Tabia.
1- Hivi nikuelezeni madhambi makubwa?
2- Atakapompenda mtu ndugu yake basi na amueleze kuwa anampenda
3- Yaepukeni mambo saba yenye kuangamiza
4- Allah amhurumie mtu ambaye ni mpole anapouza, na anaponunua, na anapo dai deni
6- Mche Mwenyezi Mungu popote ulipo, na ovu lifuatishe jema litalifuta, na ishi na watu kwa tabia njema
7- Hakika Mwenyezi Mungu amewajibisha (kufanya) wema katika kila kitu
8- Usikasirike
10- Mwenye kunyimwa upole basi kanyimwa kheri yote
11- Tahadharini na dhana; kwani dhana ni mazungumzo ya uongo mno
12- Kamwe!, Usidharau chochote katika wema, hata kama ni kukutana na ndugu ukiwa na uso mkunjufu
14- Atakayeelekeza katika jambo la kheri basi atapata malipo mfano wa malipo ya mfanyaji wake
15- Haingii peponi mfitinishaji
16- Mwenye kumuamini Mwenyezi Mungu na siku ya mwisho basi na aseme la kheri au anyamaze
17- Asiyewahurumia watu naye Mwenyezi Mungu Mtukufu hamhurumii
18- Hakika mtu anayechukiza zaidi kwa Mwenyezi Mungu ni mgomvi mkorofi
22- Atakayeitetea heshima ya ndugu yake basi Mwenyezi Mungu ataukinga uso wake na moto siku ya Kiyama
23- Hakika Mwenyezi Mungu humpenda mja mchamungu, mwenye kutosheka, mnyenyekevu
25- Hakika upole hauwi ndani ya kitu isipokuwa hukipendezesha, na hautolewi ndani ya kitu ila hukichafua
26- Hakika muumini hufikia kwa sababu ya tabia zake njema daraja ya mfungaji mwenye kusimama usiku
27- Hakika katika wabora wenu ni mtu mwenye tabia njema kuliko wote
28- Hakika Mwenyezi Mungu humpa muda dhalimu, mpaka akija kumuadhibu hambakishi
31- Yakuwa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- amekataza kunyoa kiduku
32- Tulikuwa kwa Omari akasema: "Tumekatazwa kujilazimisha
35- Hatomsitiri mja mja mwenzie duniani isipokuwa Mwenyezi Mungu atamsitiri siku ya kiyama
38- Hawezi kuwa na imani mmoja wenu mpaka ampendelee ndugu yake anachokipenda yeye katika nafsi yake
39- Kumtukana Muislamu ni ufasiki (kutoka nje ya mipaka), na kupigana naye ni ukafiri
42- Je mnajua ni nani aliyefilisika?
45- Asiangalie mwanaume katika uchi wa mwanaume mwenzie, wala mwanamke kutazama uchi wa mwanamke mwenzie
47- Yeyote atakayenisingizia mimi uongo kwa makusudi basi ajiandalie makazi yake kuwa ni motoni
48- Katika uzuri wa uislamu wa mtu: Ni kuacha kwake yale yasiyomuhusu
49- Muumini si msemaji watu vibaya wala mtoaji wa laana wala muovu wala mwenye kauli chafu
66- Hakika watoa laana hawatokuwa mashahidi wala watetezi siku ya Kiyama
