إعدادات العرض
Fiq'hi ya Tabia.
Fiq'hi ya Tabia.
1- Hawezi kuwa na imani mmoja wenu mpaka ampendelee ndugu yake anachokipenda yeye katika nafsi yake
2- Hakika Mwenyezi Mungu amefaradhisha (kutenda) wema katika kila kitu
5- Hivi nikuelezeni madhambi makubwa?
6- Atakapompenda mtu ndugu yake basi na amueleze kuwa anampenda
7- Yaepukeni mambo saba yenye kuangamiza
8- Allah amhurumie mtu ambaye ni mpole anapouza, na anaponunua, na anapo dai deni
10- Mche Mwenyezi Mungu popote ulipo, na ovu lifuatishe jema litalifuta, na ishi na watu kwa tabia njema
11- Hakika Mwenyezi Mungu amewajibisha (kufanya) wema katika kila kitu
12- Usikasirike
14- Mwenye kunyimwa upole basi kanyimwa kheri yote
15- Tahadharini na dhana; kwani dhana ni mazungumzo ya uongo mno
16- Kamwe!, Usidharau chochote katika wema, hata kama ni kukutana na ndugu ukiwa na uso mkunjufu
18- Atakayeelekeza katika jambo la kheri basi atapata malipo mfano wa malipo ya mfanyaji wake
19- Haingii peponi mfitinishaji
20- Mwenye kumuamini Mwenyezi Mungu na siku ya mwisho basi na aseme la kheri au anyamaze
21- Asiyewahurumia watu naye Mwenyezi Mungu Mtukufu hamhurumii
22- Hakika mtu anayechukiza zaidi kwa Mwenyezi Mungu ni mgomvi mkorofi
26- Atakayeitetea heshima ya ndugu yake basi Mwenyezi Mungu ataukinga uso wake na moto siku ya Kiyama
27- Hakika Mwenyezi Mungu humpenda mja mchamungu, mwenye kutosheka, mnyenyekevu
29- Hakika upole hauwi ndani ya kitu isipokuwa hukipendezesha, na hautolewi ndani ya kitu ila hukichafua
30- Hakika muumini hufikia kwa sababu ya tabia zake njema daraja ya mfungaji mwenye kusimama usiku
31- Hakika katika wabora wenu ni mtu mwenye tabia njema kuliko wote
32- Hakika Mwenyezi Mungu humpa muda dhalimu, mpaka akija kumuadhibu hambakishi
35- Yakuwa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- amekataza kunyoa kiduku
36- Tulikuwa kwa Omari akasema: "Tumekatazwa kujilazimisha
39- Hatomsitiri mja mja mwenzie duniani isipokuwa Mwenyezi Mungu atamsitiri siku ya kiyama
42- Hawezi kuwa na imani mmoja wenu mpaka ampendelee ndugu yake anachokipenda yeye katika nafsi yake
43- Kumtukana Muislamu ni ufasiki (kutoka nje ya mipaka), na kupigana naye ni ukafiri
46- Je mnajua ni nani aliyefilisika?
49- Asiangalie mwanaume katika uchi wa mwanaume mwenzie, wala mwanamke kutazama uchi wa mwanamke mwenzie
51- Yeyote atakayenisingizia mimi uongo kwa makusudi basi ajiandalie makazi yake kuwa ni motoni
52- Katika uzuri wa uislamu wa mtu: Ni kuacha kwake yale yasiyomuhusu
53- Muumini si msemaji watu vibaya wala mtoaji wa laana wala muovu wala mwenye kauli chafu
70- Hakika watoa laana hawatokuwa mashahidi wala watetezi siku ya Kiyama
