إعدادات العرض
Fiq'hi na misingi yake. - الصفحة 3
Fiq'hi na misingi yake. - الصفحة 3
1- Wapigeni vita washirikina kwa mali zenu na nafsi zenu na ndimi zenu
4- Mwenyezi Mungu akimpangia mja afie sehemu fulani humfanya ahitajie kitu sehemu ile
5- na mimi ndiye ninaitwa Dhwamam Bin Thaalaba ndugu wa Banii Saad Bin Bakri
6- Alikuwa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- akitawadha kila wakati wa swala
7- Alitawadha Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- mara moja moja
8- Anasimulia kuwa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- alitawadha mara mbili mbili
12- Mtakapo msikia muadhini basi semeni mfano wa yale anayo yasema, kisha mnitakie rehema
15- Atakapoingia mmoja wenu msikitini basi asali rakaa mbili kabla hajakaa
17- Ewe Bilali, simamisha swala, tupe raha kwayo
18- Enyi watu! Bila shaka nimefanya hivi ili muige na mjifunze swala yangu
23- Yakwamba Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- alikua akisema mwishoni mwa kila swala ya faradhi
34- Basi itakapokuja Ramadhani, basi fanya Umra, kwani Umra ndani ya Ramadhani ni sawa na Hija.”
59- Hakika vitu hivi viwili ni haramu kwa wanaume wa umma wangu, ni halali kwa wanawake wao
61- Hakika Allah na Mtume wake ameharamisha kuuza pombe, na mzoga na nguruwe na masanamu
89- Alikuwa Mtume rehema na amani ziwe juu yake akitusomesha Qur'ani katika kila hali madamu hana janaba
