إعدادات العرض
Fiq'hi na misingi yake. - الصفحة 3
Fiq'hi na misingi yake. - الصفحة 3
1- Mtakapo msikia muadhini basi semeni mfano wa yale anayo yasema, kisha mnitakie rehema
4- Atakapoingia mmoja wenu msikitini basi asali rakaa mbili kabla hajakaa
6- Ewe Bilali, simamisha swala, tupe raha kwayo
7- Enyi watu! Bila shaka nimefanya hivi ili muige na mjifunze swala yangu
12- Yakwamba Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- alikua akisema mwishoni mwa kila swala ya faradhi
21- Basi itakapokuja Ramadhani, basi fanya Umra, kwani Umra ndani ya Ramadhani ni sawa na Hija.”
44- Hakika vitu hivi viwili ni haramu kwa wanaume wa umma wangu, ni halali kwa wanawake wao
45- Hakika Allah na Mtume wake ameharamisha kuuza pombe, na mzoga na nguruwe na masanamu
70- Muumini hatoacha kuendelea kuwa katika wigo mpana katika dini yake, madam hajagusa damu ya haramu
74- Yeyote atakaetubebea silaha dhidi yetu, si miongoni mwetu