إعدادات العرض
Fiq'hi na misingi yake. - الصفحة 2
Fiq'hi na misingi yake. - الصفحة 2
13- Aliulizwa Mtume -Rehema na Amani ziwe juu yake-: Ni swala ipi bora? Akasema: Ni kurefusha kisimamo
21- Haijawahi kupata vumbi miguu ya mja yeyote katika njia ya Mwenyezi Mungu, halafu ikaguswa na moto
24- Atakayeswali (wakati) wa baridi mbili ataingia peponi
27- Mtakapouona basi fungeni, na mtakapouona basi fungueni, ukifunikwa kwenu nyinyi basi ukadirieni
35- Hana swala yeyote ambaye hakusoma sura kifunguzi cha kitabu (suratul faatiha)
37- Atakayekuja miongoni mwenu kwa ajili ya Ijumaa basi na aoge
41- Kila mmoja miongoni mwenu ni mchunga hivyo ataulizwa kuhusu raia wake
47- Kamwe, hatoingia motoni mtu yeyote aliyeswali kabla ya kuchomoza Jua na kabla ya kuzama kwake
53- Ni safi Maji yake na ni halali mizoga yake
54- Maji yatakapokuwa ni kulataini (Mapipa mawili) basi hayashiki uchafu
61- Tulikuwa hatuchukulii maji maji ya kahawia na njano baada ya twahara kuwa ni chochote
62- Kaa kiasi cha siku ambazo ilikuwa ikidumu hedhi yako, kisha oga
64- Asisafiri mwanamke mwendo wa siku mbili mpaka awe pamoja na mume wake, au maharimu yake
93- Mwenyezi Mungu akimpangia mja afie sehemu fulani humfanya ahitajie kitu sehemu ile
94- na mimi ndiye ninaitwa Dhwamam Bin Thaalaba ndugu wa Banii Saad Bin Bakri
95- Alikuwa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- akitawadha kila wakati wa swala
96- Alitawadha Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- mara moja moja
97- Anasimulia kuwa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- alitawadha mara mbili mbili