إعدادات العرض
Fiq'hi na misingi yake. - الصفحة 2
Fiq'hi na misingi yake. - الصفحة 2
13- Aliulizwa Mtume -Rehema na Amani ziwe juu yake-: Ni swala ipi bora? Akasema: Ni kurefusha kisimamo
21- Haijawahi kupata vumbi miguu ya mja yeyote katika njia ya Mwenyezi Mungu, halafu ikaguswa na moto
24- Atakayeswali (wakati) wa baridi mbili ataingia peponi
35- Hana swala yeyote ambaye hakusoma sura kifunguzi cha kitabu (suratul faatiha)
41- Kila mmoja miongoni mwenu ni mchunga hivyo ataulizwa kuhusu raia wake
61- Tulikuwa hatuchukulii maji maji ya kahawia na njano baada ya twahara kuwa ni chochote
62- Kaa kiasi cha siku ambazo ilikuwa ikidumu hedhi yako, kisha oga
64- Asisafiri mwanamke mwendo wa siku mbili mpaka awe pamoja na mume wake, au maharimu yake
89- Mwenyezi Mungu akimpangia mja afie sehemu fulani humfanya ahitajie kitu sehemu ile
90- na mimi ndiye ninaitwa Dhwamam Bin Thaalaba ndugu wa Banii Saad Bin Bakri
91- Alikuwa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- akitawadha kila wakati wa swala
92- Alitawadha Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- mara moja moja
93- Anasimulia kuwa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- alitawadha mara mbili mbili
97- Mtakapo msikia muadhini basi semeni mfano wa yale anayo yasema, kisha mnitakie rehema
100- Atakapoingia mmoja wenu msikitini basi asali rakaa mbili kabla hajakaa