إعدادات العرض
Fiq'hi na misingi yake. - الصفحة 2
Fiq'hi na misingi yake. - الصفحة 2
13- Aliulizwa Mtume -Rehema na Amani ziwe juu yake-: Ni swala ipi bora? Akasema: Ni kurefusha kisimamo
21- Haijawahi kupata vumbi miguu ya mja yeyote katika njia ya Mwenyezi Mungu, halafu ikaguswa na moto
24- Atakayeswali (wakati) wa baridi mbili ataingia peponi
26- Kunyonya pamoja kuna haramisha yale yanayo haramishwa na kuzaliwa pamoja
28- Mtakapouona basi fungeni, na mtakapouona basi fungueni, ukifunikwa kwenu nyinyi basi ukadirieni
37- Hana swala yeyote ambaye hakusoma sura kifunguzi cha kitabu (suratul faatiha)
39- Atakayekuja miongoni mwenu kwa ajili ya Ijumaa basi na aoge
43- Kila mmoja miongoni mwenu ni mchunga hivyo ataulizwa kuhusu raia wake
49- Kamwe, hatoingia motoni mtu yeyote aliyeswali kabla ya kuchomoza Jua na kabla ya kuzama kwake
55- Ni safi Maji yake na ni halali mizoga yake
56- Maji yatakapokuwa ni kulataini (Mapipa mawili) basi hayashiki uchafu
63- Tulikuwa hatuchukulii maji maji ya kahawia na njano baada ya twahara kuwa ni chochote
64- Kaa kiasi cha siku ambazo ilikuwa ikidumu hedhi yako, kisha oga
66- Asisafiri mwanamke mwendo wa siku mbili mpaka awe pamoja na mume wake, au maharimu yake
69- Asiswali mmoja wenu katika nguo moja ambayo hakuna chochote mabegani mwake
71- Utakaposujudu basi weka viganja vyako, na unyanyue viwiko vyako
84- Amelaaniwa mwenye kumuingilia mke wake kinyume na maumbile
85- Hamtazami Mwenyezi Mungu mtu ambaye kamuingilia mwanaume au mwanamke katika tupu yake ya nyuma
92- Wapigeni vita washirikina kwa mali zenu na nafsi zenu na ndimi zenu
95- Mwenyezi Mungu akimpangia mja afie sehemu fulani humfanya ahitajie kitu sehemu ile
96- na mimi ndiye ninaitwa Dhwamam Bin Thaalaba ndugu wa Banii Saad Bin Bakri
97- Alikuwa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- akitawadha kila wakati wa swala
98- Alitawadha Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- mara moja moja
99- Anasimulia kuwa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- alitawadha mara mbili mbili
