إعدادات العرض
Mambo yaliyo bora.
Mambo yaliyo bora.
1- Hakika halali iko wazi, na hakika haramu iko wazi
3- Ulimi wako usiache kuwa mbichi kwa kumtaja Mwenyezi Mungu
9- Hakika halali iko wazi, na hakika haramu iko wazi
11- Mja alifanya dhambi akasema: Ee Mola wangu nisamehe dhambi yangu
13- Haingii peponi mkata udugu
14- Atakayependa kukunjuliwa katika riziki yake, na acheleweshewe ajali yake, basi na aunge udugu wake
15- Dua ndio ibada
16- Hakuna kitu kinachotukuzwa zaidi kwa Allah Mtukufu kuliko dua
19- Mwenye kutakiwa kheri na Allah humpa ufahamu katika dini
45- Wamepata ushindi wenye kujitenga
51- Ulimi wako usiache kuwa mbichi kwa kumtaja Mwenyezi Mungu
61- Amepigia mfano Mwenyezi Mungu wa njia iliyonyooka
67- Sema: Laa ilaaha illa llahu, nitakutolea ushuhuda wa kusilimu kwa maneno hayo siku ya Kiyama
68- Mtakapo msikia muadhini basi semeni mfano wa yale anayo yasema, kisha mnitakie rehema
88- Enyi watu, tubieni kwa Mwenyezi Mungu, kwani mimi ninatubia kwa siku mara mia moja
89- Kufanya ibada katika (nyakati) za vita vurugu na mauaji ni kama kuhama kuja kwangu
90- Hakuna waislamu wawili watakaokutana wakapeana mikono isipokuwa watasamehewa kabla hawajaachana
