إعدادات العرض
Tungo zenye kulainisha moyo na mawaidha
Tungo zenye kulainisha moyo na mawaidha
1- Hakika matendo yote huzingatiwa nia, na hakika kila mtu hulipwa kwa lile alilolinuia
2- Hakika halali iko wazi, na hakika haramu iko wazi
5- Hatokuwa na imani mmoja wenu mpaka yawe matamanio yake ni yenye kufuata yale niliyokujua nayo
8- Hivi nikuelezeni madhambi makubwa?
10- Yaepukeni mambo saba yenye kuangamiza
12- , atamuingiza Mwenyezi Mungu peponi kulingana na yale aliyokuwa nayo katika matendo
16- Moto umezingirwa na yenyekutamanisha, na Pepo imezingirwa na yenyekuchukiza
17- Wakikutana waislamu wawili kwa mapanga yao, basi muuaji na muuliwaji wote motoni
18- Hakika halali iko wazi, na hakika haramu iko wazi
20- Hakika matendo yote huzingatiwa nia, na hakika kila mtu hulipwa kwa lile alilonuia
21- Hakika watu wanaotumia mali ya Mwenyezi Mungu pasina haki, hao (wana adhabu ya) moto siku ya Kiyama
24- Sikuacha baada yangu fitina yenye madhara zaidi kwa wanaume kuliko wanawake
25- Hawezi kua na imani mmoja wenu mpaka nipendeke kwake kuliko wazazi wake na mwanaye na watu wote
29- Mwenyezi Mungu alipoumba Pepo na Moto alimtuma Malaika Jibril -Amani iwe juu yake- aende peponi
33- “Mfano wa rafiki mwema na rafiki muovu ni mfano wa mbeba miski na mfua vyuma
49- Umma wangu wote unasamehewa isipokuwa wenye kutangaza wazi madhambi
50- Asife mmoja wenu isipokuwa afe katika hali ya kumdhania vizuri Mwenyezi Mungu
59- Kuwa duniani kama msafiri au mpitanjia
60- “Ewe mwanadam, maadamu unaniomba na kunitumainia, nitakusamehe uliyo nayo wala sitojali
67- Hakitosimama Kiyama mpaka apite mtu juu ya kaburi la mtu aseme: Natamani ningekua nafasi yake
68- Mauti yataletwa yakiwa kama dume la Kondoo mwenye rangi mchanganyiko ya weusi na weupe
69- Moto wenu wa Dunia ni sawa na sehemu tu ya sabini itokanayo na moto wa Jahannam
71- Amepigia mfano Mwenyezi Mungu wa njia iliyonyooka
75- Kisha hakika bila shaka mtakuja kuulizwa kuhusu neema
88- Ipe nyongo dunia Allah atakupenda ,na usivitolee macho vitu vya watu, watu watakupenda
