إعدادات العرض
Sala.
Sala.
1- Umejengwa uislamu kwa mambo matano
4- Utakapomwambia mwenzako: Nyamaza, siku ya Ijumaa, na imamu akihutubu, basi utakuwa umefanya mchezo
5- Ewe Mwenyezi Mungu, usilifanye kaburi langu kuwa ni sanamu
9- Atakayeswali swala ya Asubuhi basi huyo yuko katika dhima ya Mwenyezi Mungu
11- Atakayeacha swala ya Lasiri basi yameporomoka matendo yake
12- Msikae juu ya makaburi, na wala msisali kwa kuyaelekea
13- Watu hao anapokufa kwao mja mwema, au mwanaume mwema, wanajenga juu ya kaburi lake mahala pakuabudia
14- Nimeamrishwa nisujudu kwa viungo saba
16- Allaahumma antas salaam waminkas salaam, tabaarakta yaa dhal-jalaali wal-ikraam
17- Swali ukiwa umesimama, usipoweza basi swali ukiwa umekaa, usipoweza basi ukiwa umelala ubavu
18- Je, wasikia wito wa swala?" Akasema: Naam, akasema: "Basi ujibu
20- Umejengwa uislamu kwa mambo matano
24- Atakayeisahau swala, basi aiswali atakapoikumbuka, haina kafara nyingine isipokuwa hiyo
25- Hakika kilicho kati ya mtu na ushirikina na ukafiri ni kuacha swala
27- Mtakaposikia wito (Adhana), basi semeni mfano wa yale ayasemayo muadhini
28- Nyoosheni safu zenu, kwani hakika kunyoosha safu ni katika ukamilifu wa swala
29- Nilihifadhi kutoka kwa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- rakaa kumi
47- Aliulizwa Mtume -Rehema na Amani ziwe juu yake-: Ni swala ipi bora? Akasema: Ni kurefusha kisimamo
51- Atakayeswali (wakati) wa baridi mbili ataingia peponi
57- Hana swala yeyote ambaye hakusoma sura kifunguzi cha kitabu (suratul faatiha)
59- Atakayekuja miongoni mwenu kwa ajili ya Ijumaa basi na aoge
63- Kamwe, hatoingia motoni mtu yeyote aliyeswali kabla ya kuchomoza Jua na kabla ya kuzama kwake
70- Asiswali mmoja wenu katika nguo moja ambayo hakuna chochote mabegani mwake
72- Utakaposujudu basi weka viganja vyako, na unyanyue viwiko vyako
85- na mimi ndiye ninaitwa Dhwamam Bin Thaalaba ndugu wa Banii Saad Bin Bakri
86- Mtakapo msikia muadhini basi semeni mfano wa yale anayo yasema, kisha mnitakie rehema
89- Atakapoingia mmoja wenu msikitini basi asali rakaa mbili kabla hajakaa
91- Ewe Bilali, simamisha swala, tupe raha kwayo
92- Enyi watu! Bila shaka nimefanya hivi ili muige na mjifunze swala yangu
97- Yakwamba Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- alikua akisema mwishoni mwa kila swala ya faradhi
