إعدادات العرض
Fiq'hi na misingi yake.
Fiq'hi na misingi yake.
3- Utakaposema kumwambia mwenzio: Nyamaza siku ya ijumaa na Imamu ana khutubu, utakuwa umefanya mchezo.
10- Mswaki ni kisafisha kinywa na humridhisha Mola.
12- Muunga udugu sio yule mlipizaji,, lakini muunga udugu ni yule ambaye unapovunjwa udugu wake anauunga
28- Hakuna siku ambazo matendo mema yanapendeka zaidi ndani yake kwa Mwenyezi Mungu kama masiku haya.
70- Alikuwa Mtume -Rehema na Amani ziwe juu yake- anapoamka asubuhi anasukutua kinywa chake kwa mswaki
86- Ewe Mwenyezi Mungu hakika mimi najilinda kwako kutokana na mashetani wa kiume na mashetani wa kike.
113- Aliulizwa Mtume -Rehema na Amani ziwe juu yake-: Ni swala ipi bora? Akasema: Ni kurefusha kisimamo
121- Haijawahi kupata vumbi miguu ya mja yeyote katika njia ya Mwenyezi Mungu, halafu ikaguswa na moto
161- Yakwamba Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- alikua akisema mwishoni mwa kila swala ya faradhi