إعدادات العرض
Akida- Itikadi-
Akida- Itikadi-
3- Ewe Mwenyezi Mungu, usilifanye kaburi langu kuwa ni sanamu
8- Atayeapa kinyume na Mwenyezi Mungu basi atakuwa amekufuru au kafanya ushirikina
18- , atamuingiza Mwenyezi Mungu peponi kulingana na yale aliyokuwa nayo katika matendo
20- Atakayekufa hali yakuwa anaomba kinyume na Mwenyezi Mungu mungu mwingine, ataingia motoni
21- Wameangamia wenye kufanya uzito katika mambo
24- Mwenye kutakiwa kheri na Allah, (Allah) humuonja kutokana na kheri hiyo
29- Atakayezua katika dini yetu hii, yale yasiyokuwemo, basi yatarejeshwa
32- Umma wangu wote wataingia peponi isipokuwa atakaye kataa
33- Atakaye jifananisha na watu fulani basi na yeye ni miongoni mwao
37- Hakika nyinyi mtamuona Mola wenu kama mnavyouona mwezi huu, hamtokingwa katika kumuona kwake
38- Hakika Mwenyezi Mungu humpa muda dhalimu, mpaka akija kumuadhibu hambakishi
41- Atakayemuendea mpiga ramli akamuuliza kuhusu lolote hazitokubaliwa sala zake siku arobaini
45- Kusibaki katika shingo la mnyama bangili za shaba au kengele isipokuwa (ahakikishe) zimekatwa
53- Msikae juu ya makaburi, na wala msisali kwa kuyaelekea
54- Watu hao anapokufa kwao mja mwema, au mwanaume mwema, wanajenga juu ya kaburi lake mahala pakuabudia
55- Umejengwa uislamu kwa mambo matano
65- Mwenyezi Mungu alipoumba Pepo na Moto alimtuma Malaika Jibril -Amani iwe juu yake- aende peponi
68- Hakika kilicho kati ya mtu na ushirikina na ukafiri ni kuacha swala
70- Hakika Mwenyezi Mungu Mtukufu anakukatazeni kuapa kwa baba zenu
71- La kwanza litakalohukumiwa kati ya watu siku ya kiyama ni katika damu
76- Fanyeni haraka kufanya matendo kuna fitina nzito kama kipande cha usiku wa giza,
82- “Hakika mtafuata njia za walio kuwa kabla yenu, hatua kwa hatua, na dhiraa kwa dhiraa,
97- Nimepewa mambo matano ambavyo hakupewa mtu mwingine miongoni mwa Manabii kabla yangu