إعدادات العرض
Mambo mazuri na Adabu- Heshima.
Mambo mazuri na Adabu- Heshima.
1- Hakika matendo yote huzingatiwa nia, na hakika kila mtu hulipwa kwa lile alilolinuia
2- Hakika halali iko wazi, na hakika haramu iko wazi
4- Hawezi kuwa na imani mmoja wenu mpaka ampendelee ndugu yake anachokipenda yeye katika nafsi yake
5- Hakika Mwenyezi Mungu amefaradhisha (kutenda) wema katika kila kitu
9- Hatokuwa na imani mmoja wenu mpaka yawe matamanio yake ni yenye kufuata yale niliyokujua nayo
13- Ulimi wako usiache kuwa mbichi kwa kumtaja Mwenyezi Mungu
14- Hivi nikuelezeni madhambi makubwa?
15- Atakapompenda mtu ndugu yake basi na amueleze kuwa anampenda
18- Yaepukeni mambo saba yenye kuangamiza
21- , atamuingiza Mwenyezi Mungu peponi kulingana na yale aliyokuwa nayo katika matendo
24- Dhikiri bora ni: Laa ilaaha Illa llaah: Na dua bora ni: Al-hamdulillah
28- Moto umezingirwa na yenyekutamanisha, na Pepo imezingirwa na yenyekuchukiza
30- Allah amhurumie mtu ambaye ni mpole anapouza, na anaponunua, na anapo dai deni
33- Mche Mwenyezi Mungu popote ulipo, na ovu lifuatishe jema litalifuta, na ishi na watu kwa tabia njema
34- Wakikutana waislamu wawili kwa mapanga yao, basi muuaji na muuliwaji wote motoni
35- Hakika halali iko wazi, na hakika haramu iko wazi
36- Hakika Mwenyezi Mungu amewajibisha (kufanya) wema katika kila kitu
38- Hakika matendo yote huzingatiwa nia, na hakika kila mtu hulipwa kwa lile alilonuia
39- Usikasirike
41- Mja alifanya dhambi akasema: Ee Mola wangu nisamehe dhambi yangu
43- Mwenye kunyimwa upole basi kanyimwa kheri yote
45- Hakika watu wanaotumia mali ya Mwenyezi Mungu pasina haki, hao (wana adhabu ya) moto siku ya Kiyama
46- Tahadharini na dhana; kwani dhana ni mazungumzo ya uongo mno
49- Kamwe!, Usidharau chochote katika wema, hata kama ni kukutana na ndugu ukiwa na uso mkunjufu
51- Atakayeelekeza katika jambo la kheri basi atapata malipo mfano wa malipo ya mfanyaji wake
52- Msiwatukane wafu, kwani wao tayari wameyapata yale waliyoyatanguliza
54- Haingii peponi mkata udugu
55- Haingii peponi mfitinishaji
56- Atakayependa kukunjuliwa katika riziki yake, na acheleweshewe ajali yake, basi na aunge udugu wake
57- Palipo karibu zaidi kwa mja na Mola wake ni pale anapokuwa kasujudu,Basi zidisheni dua
58- Mwenye kumuamini Mwenyezi Mungu na siku ya mwisho basi na aseme la kheri au anyamaze
59- Asiyewahurumia watu naye Mwenyezi Mungu Mtukufu hamhurumii
60- Hakika mtu anayechukiza zaidi kwa Mwenyezi Mungu ni mgomvi mkorofi
64- Dua ndio ibada
67- Hakuna kitu kinachotukuzwa zaidi kwa Allah Mtukufu kuliko dua
68- Atakayeitetea heshima ya ndugu yake basi Mwenyezi Mungu ataukinga uso wake na moto siku ya Kiyama
71- Mwenye kutakiwa kheri na Allah humpa ufahamu katika dini
72- Hakika Mwenyezi Mungu humpenda mja mchamungu, mwenye kutosheka, mnyenyekevu
73- Yakwamba Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- alikuwa hakatai marashi
75- Hakika upole hauwi ndani ya kitu isipokuwa hukipendezesha, na hautolewi ndani ya kitu ila hukichafua
77- Hakika muumini hufikia kwa sababu ya tabia zake njema daraja ya mfungaji mwenye kusimama usiku
78- Hakika katika wabora wenu ni mtu mwenye tabia njema kuliko wote
79- Hakika Mwenyezi Mungu humpa muda dhalimu, mpaka akija kumuadhibu hambakishi
80- Sikuacha baada yangu fitina yenye madhara zaidi kwa wanaume kuliko wanawake
83- Hawezi kua na imani mmoja wenu mpaka nipendeke kwake kuliko wazazi wake na mwanaye na watu wote
85- Atakayesoma aya mbili za mwisho wa suratul Baqara zitamtosheleza
89- Yakuwa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- amekataza kunyoa kiduku
90- Tulikuwa kwa Omari akasema: "Tumekatazwa kujilazimisha
92- Ewe kijana, mtaje Mwenyezi Mungu, na kula kwa mkono wako wa kulia, na kula kile kinachokuelekea
99- Mwenyezi Mungu alipoumba Pepo na Moto alimtuma Malaika Jibril -Amani iwe juu yake- aende peponi
