إعدادات العرض
Mambo mazuri na Adabu- Heshima.
Mambo mazuri na Adabu- Heshima.
2- Atakapo mpenda mtu ndugu yake amwambie kuwa anampenda.
10- Yeyote atakaye nidhamini kuhifadhi ulimi wake na tupu yake nitamdhamini kuingia peponi.
11- Dhikri bora ni: Laa ilaaha ila LLah
12- Pepo iko karibu na mmoja wenu kuliko hata kisigino cha kiatu chake, na moto mfano huo huo.
15- Umezingirwa moto kwa mambo yenye kutamanisha, na imezingirwa pepo kwa yenye kuchukiza.
17- Amrehemu Mwenyezi Mungu mja mpole anapouza, na anaponunua, na anapodai
20- Watakapo kutana waislamu wawili kwa mapanga yao basi muuwaji na muuliwaji wote motoni.
23- Hakika matendo yote huzingatiwa nia, na hakika kila mtu hulipwa kwa lile alilolinuia
33- Usidharau kabisa katika wema kitu chochote, hata kama nikukutana na ndugu yako kwa uso mkunjufu.
99- Hakika bila shaka mfano wa rafiki mwema na rafiki muovu, ni kama mfano wa mbeba miski, na mfua vyuma
106- Ni dua ipi inasikilizwa zaidi? Akasema: katikati ya mwisho wa usiku, na mwisho wa swala za faradhi
156- Mfano wa yule anayemtaja Mola wake na yule asiyemtaja Mola wake ni mfano wa aliyehai na aliyekufa
175- Asiangalie mwanaume katika uchi wa mwanaume mwenzie, wala mwanamke kutazama uchi wa mwanamke mwenzie